Sera ya fedha ni maamuzi na kazi zinazofanywa na Benki Kuu kwa niaba ya serikali ili kudhibiti ujazi wa fedha katika uchumi kwa kuongeza au kupunguza ...
Benki Kuu ya Tanzania imepewa mamlaka ya kutoa leseni, kusimamia, kudhibiti na kufuta leseni za benki, taasisi za fedha pamoja na maduka ya fedha za kigeni. Taasisi za Fedha ni ...
Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa ya mwaka 2015 inatoa mamlaka kwa Benki Kuu ya Tanzania kusimamia na kudhibiti mifumo ya...
Benki Kuu ya Tanzania inatumia masoko ya fedha, dhamana za serikali na uuzaji na ununuzi wa fedha za kigeni katika kutekeleza sera ya fedha, kuhakikisha...
Kwa mujibu wa Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006, Benki Kuu ya Tanzania ni taasisi pekee yenye jukumu la kutoa noti na sarafu nchini Tanzania,ambazo zitakuwa...
Benki Kuu ya Tanzania ni wakala wa huduma za kibenki kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Huduma jumuishi za kifedha huchangia katika ujumuishi wa kifedha katika sekta ya fedha, kwa mtu mmoja mmoja na biashara kufikiwa na kutumia bidhaa...
Tarehe ya biashara:27-Jul-24
Kununua Kuuza
BIF 0.9178 0.9263
EUR 2884.6234 2913.738
GBP 3416.7076 3453.021
JPY 17.2138 17.3848
KES 20.2781 20.3258
RWF 2.013 2.0596
UGX 0.6846 0.7183
USD 2656.4356 2683
GOLD 6315144.4554 6379154.46
ZAR 145.5565 146.9815
Overnight IBCM
Tarehe ya Biashara
7/25/2024
Kiasi (Million TZS) 45,100.00
JUU 8.00
CHINI 6.10
WASTANI 6.47
Soma zaidi..
7 Day IBCM
Tarehe ya Biashara
7/26/2024
Kiasi (Million TZS) 49,572.50
JUU 8.00
CHINI 6.00
WASTANI 7.65
Soma zaidi..
REPO
Tenure (Days)
WAR
Kiasi (Million TZS)
7 (3/28/2024) 5 100,000.00
14 (3/28/2024) 5.5 100,000.00
6 (6/30/2023) 3 60,000.00
30 (5/2/2023) 3 20,000.00
8 (12/23/2013) 5.5 15,000.00
4 (12/23/2013) 5 15,000.00
10 (12/20/2013) 5 15,000.00
REVERSE REPO
Tenure (Days)
WAR
Kiasi (Million TZS)
14 (4/16/2024) 6.7267 10,000.00
7 (4/12/2024) 6.2407 10,000.00
30 (1/14/2022) 6.5 8,000.00