Sera ya fedha ni maamuzi na kazi zinazofanywa na Benki Kuu kwa niaba ya serikali ili kudhibiti ujazi wa fedha katika uchumi kwa kuongeza au kupunguza ...
Benki Kuu ya Tanzania imepewa mamlaka ya kutoa leseni, kusimamia, kudhibiti na kufuta leseni za benki, taasisi za fedha pamoja na maduka ya fedha za kigeni. Taasisi za Fedha ni ...
Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa ya mwaka 2015 inatoa mamlaka kwa Benki Kuu ya Tanzania kusimamia na kudhibiti mifumo ya...
Benki Kuu ya Tanzania inatumia masoko ya fedha, dhamana za serikali na uuzaji na ununuzi wa fedha za kigeni katika kutekeleza sera ya fedha, kuhakikisha...
Kwa mujibu wa Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006, Benki Kuu ya Tanzania ni taasisi pekee yenye jukumu la kutoa noti na sarafu nchini Tanzania,ambazo zitakuwa...
Benki Kuu ya Tanzania ni wakala wa huduma za kibenki kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Huduma jumuishi za kifedha huchangia katika ujumuishi wa kifedha katika sekta ya fedha, kwa mtu mmoja mmoja na biashara kufikiwa na kutumia bidhaa...
Tarehe ya biashara:13-Sep-25
Kununua Kuuza
BIF 0.8106 0.8187
EUR 2860.4344 2889.0388
GBP 3307.9272 3341.0065
JPY 16.5111 16.6763
KES 18.8361 19.0244
RWF 1.6756 1.6923
UGX 0.6953 0.7023
USD 2443.9802 2468.42
GOLD 8895428.046 8984382.327
ZAR 140.3223 141.7256
Overnight IBCM
Tarehe ya Biashara
9/12/2025
Kiasi (Million TZS) 4,000.00
JUU 6.25
CHINI 6.00
WASTANI 6.06
Soma zaidi..
7 Day IBCM
Tarehe ya Biashara
9/12/2025
Kiasi (Million TZS) 43,800.00
JUU 7.25
CHINI 6.00
WASTANI 6.50
Soma zaidi..
REPO
Tenure (Days)
WAR
Kiasi (Million TZS)
7 (3/28/2024) 5 100,000.00
14 (3/28/2024) 5.5 100,000.00
6 (6/30/2023) 3 60,000.00
30 (5/2/2023) 3 20,000.00
8 (12/23/2013) 5.5 15,000.00
4 (12/23/2013) 5 15,000.00
10 (12/20/2013) 5 15,000.00
REVERSE REPO
Tenure (Days)
WAR
Kiasi (Million TZS)
6 (9/12/2025) 6.5 10,000.00
7 (9/11/2025) 5.75 900,000.00
1 (9/10/2025) 6.2 10,000.00
2 (9/9/2025) 7 10,000.00
3 (9/8/2025) 6.58 10,000.00
14 (10/7/2024) 8 100,000.00
30 (1/14/2022) 6.5 8,000.00