Sheria na Kanuni
Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa ya mwaka 2015 inatoa mamlaka kwa Benki Kuu ya Tanzania kusimamia na kudhibiti mifumo ya malipo na kuboresha mifumo ya kibenki na taasisi za kifedha iwe ya kuaminika, ili kuwezesha malipo kufanyika kwa maendeleo ya uchumi wa taifa. Sheria hiyo inaongezewa nguvu na Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006 ambayo inatoa mamlaka mapana kwa Benki Kuu kusimamia bidhaa na huduma za mifumo ya malipo zinazotolewa na mabenki na taasisi zingine.
Benki Kuu ya Tanzania inatoa waraka na miongozo ili kuhakikisha kwamba shughuli za mifumo ya malipo inafanyika vizuri. Wadau mbalimbali wanashirikishwa pia katika utengenezaji wa sheria na kanuni za mifumo ya malipo.
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |
|---|---|---|
| 1. | THE NATIONAL PAYMENT SYSTEMS ACT, 2015 | |
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |
|---|---|---|
| 1. | THE ELECTRONIC MONEY REGULATIONS, 2015 | |
| 2. | THE PAYMENT SYSTEMS LICENSING AND APPROVAL REGULATIONS, 2015 | |
| 3. | TACH RULES | |
| 4. | TISS RULES AND REGULATIONS | |
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |
|---|---|---|
| 1. | PAPER INSTRUMENT STANDARDS | |
| 2. | CHEQUE STANDARDS AND SPECIFICATIONS | |
| 3. | TANZANIA QUICK RESPONSE CODE STANDARD (TANQR CODE STANDARD 2022) | |
| 4. | CUSTOMER EXPERIENCE GUIDELINE FOR MERCHANT PAYMENTS | |
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |
|---|---|---|
| Na. | Jina la Waraka | Pakua |