Kwa mujibu wa Kanuni za Mabenki na Taasisi za Fedha (Wakaguzi wa Hesabu wa Nje), 2014, kampuni ya ukaguzi wa hesabu inayotaka kukagua benki au taasisi ya fedha inayofanya kazi Tanzania, lazima iombe kusajiliwa na Benki Kuu ya Tanzania kama kampuni ya ukaguzi ya nje iliyoidhinishwa.
Kusajiliwa na Benki Kuu ya Tanzania
Zifuatazo ni hatua za kufuata ili kusajiliwa kama mkaguzi wa hesabu wa benki na taasisi za fedha zinazofanya kazi nchini, na ambazo zinasimamiwa na Kanuni za Mabenki na Taasisi za Fedha (Wakaguzi wa Hesabu wa Nje), 2014: -
For a list of approved external auditors bofya hapa